Ijumaa, 8 Desemba 2017

```Serikali imetangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018

Serikali imetangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018.
Wanafunzi 650,862 kati ya 662,035 waliofaulu wamechaguliwa katika awamu ya kwanza, hii ikiwa ni sawa na asilimia 98.31Serikali imetangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018. Wanafunzi 650,862 kati ya 662,035 waliofaulu wamechaguliwa katika awamu ya kwanza, hii ikiwa ni sawa na asilimia 98.31Idadi hii ni ongezeko la 124,209 sawa na asilia 23.38 kutoka wanafuzni  mwaka waliochaguliwa kwa awamu ya kwanza kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2017 Pia mwaka huu wanafunzi wote wenye mahitaji maalumu wamechaguliwa kujiungana kidato cha kwanza

Jumatano, 30 Agosti 2017

HESLB: Majority of loan applicants fail to meet requirements Higher Education Students Loans Board (HESLB) Executive Director, Mr Abdul Badru Many of applicants submit their documentsHESLB extend loan application deadline Dar es Salaam. Some 15,473 out of 49,282 loans applicants have, until yesterday, submitted the requisite documents for loans application through Online Loan Application and Management System (OLAMS). This was revealed by Higher Education Students Loans Board (HESLB) Executive Director, Mr Abdul Badru, when talking to journalists at HESLB offices today, August 30. He further commented that the other 33,809 loans applicants were in advance stage to finalise the process including uploading their requisite documents into the system as it required under HESLB Act. "I encourage applicants who have not completed to do so and upload their documents… they should do so as soon as possible," he said. Meanwhile, HESLB has extended loan application deadline for new applicants from September 4 to 11, 2017. The move will enable applicants who initially failed to complete their application, to finalise the process.

Higher Education Students Loans Board (HESLB) Executive Director, Mr Abdul Badru
Many of applicants submit their documentsHESLB extend loan application deadline
Dar es Salaam. Some 15,473 out of 49,282 loans applicants have, until yesterday, submitted the requisite documents for loans application through Online Loan Application and Management System (OLAMS).
This was revealed by Higher Education Students Loans Board (HESLB) Executive Director, Mr Abdul Badru, when talking to journalists at HESLB offices today, August 30.
He further commented that the other 33,809 loans applicants were in advance stage to finalise the process including uploading their requisite documents into the system as it required under HESLB Act.
"I encourage applicants who have not completed to do so and upload their documents… they should do so as soon as possible," he said.
Meanwhile, HESLB has extended loan application deadline for new applicants from September 4 to 11, 2017.
The move will enable applicants who initially failed to complete their application, to finalise the process.
Please ..

Jumatatu, 21 Agosti 2017

Nafasi 51 za kazi chuo kikuu muhimbili (MUHAS).

Muhimbili University of Health and Allied Sciences is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts:-
LECTURER - 10 POSTS
ASSISTANT LECTURER - 10 POSTS
TUTORIAL ASSISTANT - 23 POSTS
ASSISTANT LIBRARIAN - 2 POSTS
ASSISTANT LIBRARY TRAINEE - 2 POSTS
ASSISTANT RESEARCH FELLOW - 2 POSTS
RESEARCH FELLOW TRAINEE - 2 POSTS
APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED OR HAND DELIVERED TO THE FOLLOWING ADDRESS on or before 4.00 p.m. on 30th August, 2017 (i.e. Deadline for receiving applications). For more details, Download the Advert
Ukurasa wa 1 kati ya 7 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is inviting applications from
suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill vacant positions listed
hereunder for below.
1. LECTURER - 10 POSTS
a) Required Qualification
i) Appropriate PhD or MMed/MDent with a GPA of at least 4.0 and an average of
B+ grade/ or equivalent in the area of
ii) A minimum GPA of 3.8 in the Undergraduate Training University. (b) Duties and
Ukurasa wa 1 / 7
THE DEPUTY VICE CHANCELLOR, PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION,
MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES - MUHAS,
P.O. BOX 65001,
DAR ES SALAAM
For more details, Muhimbili University of Health and Allied Sciences is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts:-
LECTURER - 10 POSTS
ASSISTANT LECTURER - 10 POSTS
TUTORIAL ASSISTANT - 23 POSTS
ASSISTANT LIBRARIAN - 2 POSTS
ASSISTANT LIBRARY TRAINEE - 2 POSTS
ASSISTANT RESEARCH FELLOW - 2 POSTS
RESEARCH FELLOW TRAINEE - 2 POSTS
APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED OR HAND DELIVERED TO THE FOLLOWING ADDRESS on or before 4.00 p.m. on 30th August, 2017 (i.e. Deadline for receiving applications). For more details, Download the Advert
Ukurasa wa 1 kati ya 7 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is inviting applications from
suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill vacant positions listed
hereunder for below.
1. LECTURER - 10 POSTS
a) Required Qualification
i) Appropriate PhD or MMed/MDent with a GPA of at least 4.0 and an average of
B+ grade/ or equivalent in the area of
ii) A minimum GPA of 3.8 in the Undergraduate Training University. (b) Duties and
Ukurasa wa 1 / 7
THE DEPUTY VICE CHANCELLOR, PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION,
MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES - MUHAS,
P.O. BOX 65001,
DAR ES SALAAM

Jumamosi, 5 Agosti 2017

HESLB YATOA MWONGOZO NA VIGEZO VYA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA 2017/2018

HESLB YATOA MWONGOZO NA VIGEZO VYA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA 2017/2018
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 na itaanza kupokea maombi ya mikopo kuanzia tarehe 6 Agosti 2017 hadi tarehe 4 Septemba, 2017.
Waombaji wote wa mikopo watarajiwa mnasisitizwa kusoma mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 pamoja na taratibu nyingine za uombaji mkopo kabla ya kujaza fomu za maombi ya mkopo zinazopatikana kwenye mtandao wa
https://olas.heslb.go.tz
Kusoma mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 bofya hapa
Kusoma hatua za kufuata kufanya maombi ya mkopo na malipo bofya hapa
Kusoma kuhusu sifa za msingi za mwombaji kwa Kiswahili bofya hapa na kwa Kiingereza bofya

Alhamisi, 3 Agosti 2017

Mambo ya kuzingatia wakati wa kufanya loan board application

Tuendelee,kama utakumbuka vizuri ni siku chache tu toka Tume ya vyuo vikuu nchini ikishirikiana na NACTE kutangaza rasmi utaratibu wa namna ya kutuma maombi vyuo mbalimbali ikiwa ni tofauti na miaka ya nyuma ambapo mwombaji alipaswa kuomba kupitia Central admission system ya TCU NA NACTE,
Kutokana na changamoto zilizowahi kujitokeza hapo mwanzo, kwa mwaka huu wa masomo 2017/2018 waombaji watatuma maombi chuoni moja kwa moja kulingana na maelekezo ya chuo.
Lakini tukiachilia mbali suala hilo, wengi nadhani mnasubiri kwa shauku kuu ya kufunguliwa kwa dirisha kwa waombaji wapya ili waanze kutuma maombi na ambapo pia tu juzi bodi ya mikopo ilidokeza kidogo mabadiliko ambayo inatarajia kuyafanya ikiwa ni maboresho ya mfumo wa zamani..
Kila anayeomba mkopo bodi ya mikopo (HESLB) matajario yao ni kupata huo mkopo lakini usije shangaa pamoja na kuwa na sifa zote za kuupata mkopo utajikuta umekosa, unafikiri kwa nini?.
Ungana nami hapa nikupe A-Z ya kwanini utakosa mkopo na kwa nini utapata mkopo wa serikali kwa ajili ya masomo yako..
Mambo yafuatayo ukiyafanya sahau kupata huo mkopo hata kama utakua na division one ya 3.
1.Kuchagua kozi ambazo siyo vipaumbele vya taifa.
Kozi fulani kupewa kipaumbele katika kupewa mikopo haina maana ya kwamba kozi zingine hazina umuhimu sana bali ni mpango wa taafa kuaandaa wataalamu wanaohitajika kwa muda husika katika sekta husika. Hivyo wewe kama mwombaji jitahidi kufanya tafiti kujua ni kozi zipi hupewa vipaumbele katika utoajia wa mikopo. Kwa mfano Mwaka jana 2016/2017 education programmes nyingi za sayansi na hisabati wanafunzi waliomba kozi hizo walikua na uwezekano mkubwa wa kupata mkopo ukiachilia mbali bajeti ya serikali kwa mwaka huo.
2.Taarifa sahihi wakati wakutuma maombi.
Hapa pia kuna changamoto zake. Watu wengi hujidanganya eti ukiwa yatima lazima upate mkopo japokua ni kweli hua hivyo lakini cha ajabu ambacho hutokea ni kwamba watu hufany forgery ya vyeti vya vifo na vya kuzaliwa ili wapewe mikopo. Ikumbukwe kwamba forgery yoyote ni kosa kisheri ikigundulika. Toa taarifa sahihi kuepusha usumbufu utakaojitokeza mbele ikumbukwe kuna maisha baada ya kupewa mkopo.
3.Ujazaji wa fomu ya kuomba mikopo ikiwa haijakamilika ( incomplete)
Imekua ikijirudia mara kwa mara bodi kutoa orodha ya majina ya waombaji ambao fomu zao zilituma zikiwa hazijajazwa taarifa zote. Kwa mfano form kuwasilishwa bodi bila muhuri wa mwenyekiti wa kitongoji, muhuri wa mahakama,bila sahihi ya mwombaji n.k mambo haya yote yanapunguza uwezekano wa kupata mkopo licha ya kwamba utakua na matokeo mazuri.
3.Kutokusoma vigezo na masharti ya ya Bodi.
Ni jambo ambalo ni common kwa sisi wote kutokusoma vizur na kwa umakini masharti ya bodi mbaya zaidi tunspenda kusimuliwa na wenzetu. Ukituma maombi bila ya kuwa na ufahamu wa kutosha wa maelekezo na masharti yatakayotolewa na bodi ..Uwezekano wa wewe kupata huo mkopo utapungua sana. Jitahidi kusoma vizuri maelekezo kabla ya kuanza kutuma maombi ya huo mkopo.
4.Viambatanisho muhimu.
Fomu ya maombi ya mkopo itakutaka uambatanishe vivuli vya vyeti mbalimbali au kitambulisho.Hakikisha unaambatanisha kadri ya maelekezo uliyopewa na Bodi.
Mwisho kabisa nikutakie maandalizi mema ya kuingia katika ulimwengu wa wasomi duniani.Ukipata nafasi ya kupata mkopo basi utumie vizuri ukikumbuka kwamba mara baada ya kuhitimu masomo yako ya chuo kikuu utahitajika kuurejesha kwa makato ya asilimia 15 ya mshahara wako Usikwende kula bata sana Mkuu.
Best wishes.

Jumatatu, 31 Julai 2017

MUONGOZO WA KUCHAGUA DEGREE PROGRAMES NA USHAURI KWA UNDERGRADUATES NA DIPLOMA HOLDER'S KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018 usisahau kushare na wenzako click here 👇👇👇👇

Napenda Kuwauunganisha Form 6 leavers na Diploma holder Katika Utambuzi Yakinifu wa kozi za kuchagua ktk level ya degree
Aina ya kozi nzuri ya KUSOMA kutokana na Mchepuo wako wa A-level na kwa diploma holder
Marketable course in terms of Employment opportunities
Future market ya kozi husika hasa Ktk nchi inayoendelea Kama Tanzania
Changamoto husika ya kozi kwa vyuo mbalimbali Tanzania
Competition iliyopo Katika uchaguzi wa kozi Mbalimbali
1. NAPENDA KUKARIBISHA MASWALI, MIJADALA NA HOJA MBALIMBALI KUSAIDIA NDUGU ZETU UNDERGRADUATE KATIKA HATMA YAO YA MASOMO YA NGAZI YA JUU
MUONGOZO WA kozi za kuchagua kwa Tahasusi ya PCB na Diploma zinazo relate na hii combination
1. Doctor of medicine Ina high competition kwa Vyuo vyote Kama ufaulu mdomo kuwa Makin katika kuichagua
2. Bsc. Pharmacy
3. Bsc. Nursing
4. Bsc. Medical laboratory science
5. Bsc. Microbiology
6. Bsc. Molecular biology & Biotechnology
7. Bsc. Biotechnology & Laboratory science
8. Bsc. Food science & Technology
9. Bsc. Agronomy
10. Bsc. Animal science & production
11. Bsc. Wildlife management
12. Bsc. Veterinary medicine
13. Bsc. Forestry
14. Bsc. Agricultural general
15. Bsc. With Education
MUONGOZO WA kozi za kuchagua kwa Tahasusi ya PCM na diploma zinazo relate na Tahasusi iyo
All field of Engineering hasa
Civil Eng,
Mechanical Eng,
Electronics & Telecommunications Eng,
Electrical Eng,Computer Eng,
Agricultural Eng, Irrigation & Water resource Eng,
architecture, Quantity Survey, Geomatics,
Actuarialscience, Computer science, ICT,
Chemical & Processing Eng
Petroleum geology, petroleum engineering, petroleum chemistry
Geology,
Engineering geology
Bsc. With Education
1. MUONGOZO kwa Tahasusi ya CBG CBG & CBA na diploma zinazo relate na Tahasusi hii
ANAWEZA CHAGUA KOZI ZOTE AMBAZO ZIPO KWENYE TAHASUSI YA PCB NB:Kwa MD baadhi ya vyuo Hawatakua na Vigezo vya kudahiliwa bcoz wanaconsider na physics A level
1. MUONGOZO kwa Tahasusi ya PGM na kozi za diploma zinazo relate nayo
ANAWEZA CHAGUA KOZI ZOTE AMBAZO ZIPO KWENY TAHASUSI YA PCM Pia kozi zengine ni Kama Aircraft Maintenance Engineering but Ada yake Iko juu sana
1. MUONGOZO WA kozi za kuchagua kwa Tahasusi Ya EGM & HGE Na diploma zinazo relate na Tahasusi hii
Bsc. Agricultural economics & Agribusiness
Bsc. Building Econmics
Bsc. Actuarialscience
Bsc. Irrigation & Water res Eng, Agricultural Eng (O level Science)
Bsc. Architecture
Bsc. Geomatics
B. A Economics & Statistics
Bsc. Computer science , Bsc ICT
B.A land management & Valuation
B. A Economics
B. A Accounting & Finance
Bsc. With Education
1. MUONGOZO WA kozi za kuchagua kwa Tahasusi ya ECA na diploma zinazo relate nazo
Bsc. Agricultural economics & Agribusiness
B. A accounting & Finance
B Business Administrator ( Accounting & Finance)
B Banking&Finance, B Economics & Finance, B Procurement & Logistic Supply/Mgt
B. A with Education
1. MUONGOZO WA kozi za kuchagua kwa Tahasusi za HGL, HGK & HKL na diploma zinazo relate na hii Tahasusi
LL. B (B. Law)
B. Land management & Valuation
B. A Human resource management
All kozi relate with community development & Planning
B. A with Education

Jumamosi, 29 Julai 2017

MAMBO UNAYOTAKIWA KUYAFAHAMU KUHUSU MKOPO WA ELIMU YA JUU 2017/2018

Everything you need to know - for the HSELB First Time Undergraduate Loan Application for 2017/18 academic year
INTRODUCTION
As part of implementation of the Education and Training Policy 2014, the Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) that was established under Act No. 9 of 2004 (as amended) and commenced operations in July, 2005, will continue to issue loans to eligible students as per its mandate and procedures. Among other things, the Board has been entrusted by the Government with the responsibility to issue loans to students pursuing Diploma in Science/Mathematics with Education and Diploma in Primary Education (Science/Mathematics)/ Higher Diplomas and Degree studies at accredited Higher Education Institutions in and outside the country, issue grants to Medical related programmes and other programmes as may be approved by the Government and to collect repayment
for all loans issued to students since 1994, so as to make the scheme successful and sustainable
Here are the 7 important things to consider during HESLB First Time Undergraduate Loan Application Financial Year: 2017 - 2018
1. When HESLB Loan Application window will be open for 2017/18 academic year?
The Higher Education Loans Board will be opened on september 2017 and student will be invited to apply for the 2017-2018 First Time Undergraduate Loan from Tanzanians admitted into Government of Tanzania-Sponsored or Self-Sponsored Programs in Public or Private Universities in Tanzania that are recognized by the Tanzania Commission for University (TCU). The closing date for the online loan application will be announced
2. Who will be eligible?
Government of Tanzania-Sponsored Undergraduate Students placed by Tanzniaa Universities & Colleges Central Placement Service and admitted by the universities.
Direct Entry Undergraduate Self-Sponsored Students.
Tanzanian student
Must be a continuing student who has passed the examinations necessary to enable him/her to advance to the next year or stage of study.
Eligible candidates are advised to visit HESLB website http://www.heslb.go.tz to familiarize themselves with OLAS before attempting to apply
Read the guidelines and criteria for issuance of students loans and grants for the 2017/2018 Academic year Click here
Also please look into the common application guidelines provided for different academic years would help : OLAS Guidelines
3. How do you apply?
Application for Higher Education Loan (OLAS) will be done through the OLAS website
Applicant will be required to Visit http://olas.heslb.go.tz/ to register.
Ensure to read and duly complete the HESLB Financial Literacy literature and guideline which is availabe here .
You will have to login by clicking the "Click here to Apply" option in the website.
Log in, select and fill in the 2017-2018 First Time undergraduate Loan Application Form from the HELB website.
Print out the application form and loan agreement appropriately and sign the same and attach necessary documentation.
Have the form appropriately filled, signed and stamped by the relevant authorities and guarantors.
Sign the form and attach all the necessary documents as indicated in the checklist appearing on the last page of the Loan Application Form and Guidelines.
Present one copy of the duly completed Loan Application Form and all the attached supporting documents to HESLB :
You will be required to submit it to the Higher Education Students Loan Board through EMS or by registered mail to the specific address that will be provided during application .
Also, applicant are advised to maintain a copy of the application form and receipt used for mailing the application for subsequent purposes of tracking the application form.
Remember: The HELB Loan Application process is free. Do not pay anyone to process your HELB Loan.
4. Is it compulsory to apply for a HESLB loan?
No. You should apply for HESLB loan only if you are in need of the funds.
5. What if I was awarded a loan but it is not enough, can I request for additional funds?
Yes, if you have a genuine need for additional funds, you can appeal amounts awarded to you by completing the appeal form.
6. If I discontinue my education, do I have to pay amount awarded to me even if I didn't complete my education?
Once you are awarded a HESLB loan, you will be required to fully repay the amount in accordance with the terms & conditions as well as the interest accrued thereafter and penalties incurred (if any).
7. I have a sibling who didn't qualify for HESLB loan. Can I share the amount I was awarded with him/her then we share repayment?
Tuition is disbursed directly to the loan applicant’s learning institution. However, any willing individual can help you repay your HESLB Loan.
HESLB First Time Undergraduate Loan Application
heslb loan application form
heslb application deadline
heslb registration
www.heslb.go.tz loan application form
latest news on heslb loan
heslb application forms first time applicants pdf
heslb new portal
More contact information and phone numbers can be found on the following link :
Contact Info